Mgeni rasmi Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mh. Dora Msechu akiwa na mwenyeji wake Meya wa Trollhattan, Paul Akerlund (kushoto) pamoja na Chef Issa Kapande (kulia) wakielekea kwenye eneo la tukio.
WAGENI WAALIKWA WAKIENDELEA KUCHATI HUKU WAKISUBIRIA MAAKULI
SEHEMU YA WAGENI WAALIKWA AMBAO NI WATANZANIA WAISHIO SWEDEN
MMILIKI WA MGAHAWA HUO AKIONGEA KWA KUWAFAHAMISHA WAGENI ZAIDI
MUHESHIMIWA BALOZI WA TANZANIA NCHI ZA SCANDNAVIA AKIPAKUA MSOSI
MGENI AKIHUDUMIWA NA MMOJA WA WAFANYAKAZI WA HOTELI HIYO
PICHA YA PAMOJA WAFANYAKAZI,MEYA WA MJI,BALOZI WETU NA MMILIKI
Mgahawa huo ulizinduliwa na balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mh. Dora Msechu.
Balozi Msechu alimpongeza Issa Kapande na mkewe kwa kufanikisha kuwapo kwa mgahawa huo ambao umeweka rekodi kuwa mgahawa mkubwa kuliko yote ya Kiafrika katika nchi za Ulaya.
Aidha, alimshukuru Torvald Brahm mwenyeji wa mji huo kwa kumuunga mkono Issa hadi kufanikisha ndoto yake ya kuwa na mgahawa wa kwanza wa Kiafrika katika mji wa Trollhattan utakatoa huduma ya chakula cha kitanzania.
Katika uzinduzi huo ambapo wenyeji wa manispaa hiyo akiwemo Meya na mwenyekiti wa Trollhattan, Paul Akerlund na msaidizi wake Peter Eriksson walikuwepo
No comments:
Post a Comment