Biorn Production Studios
  • Home
  • Facebook
  • Youtube
  • Twitter
  • Instagram
  • Contact

Wednesday, April 29, 2015

WASANII WA MZIKI WA KIZAZI KIPYA TOKA DODOMA WASHIRIKISHWA KWENYE UKUSANYAJI WA PESA ZA UBORESHAJI WA MAZINGIRA YA ELIMU NA MKUU WA WILAYA-BETTY MKWASA

Kutoka kanda ya kati dodoma,mkuu wa wilaya ya mjini Mh. Betty Mkwasa amebuni mbinu ya kuitumia sanaa ya mziki wa kizazi kipya katika kuleta maendeleo kwenye sekta ya Elimu kwa kuwaunganisha wasanii watokao kanda hiyo kwa kufanya wimbo wa pamoja na kisha kuandaa Tamasha ambalo litajumuisha pia wasanii wakubwa ambao wataungana kwa ajili ya kufanya onyesho siku ya jumamosiya tarehe 2 mwezi May 2015 ndani ya viwanja vya Jamhuri Stadium pia baadae patakuwa na after party itakayomalizikia kwenye ukumbi wa Royal village hotel..ambapo lengo kuu ni kukusanya pesa kwa ajili ya Ujenzi wa Maabara za kisasa zitakazotumiwa na wanafunzi mkoani humo.Wasani wakubwa watakaoongoza show hiyo ni Bushoke, Ben Pol na Mzee yusuph.

Biorn Production Studios tawi la Dodoma imefanikiwa kutoa wasanii wawili watakaotuwakilisha kwenye Harambee hiyo ambao ni Big Born90 na Smao,wakali wengine toka dodoma ni Central Zone,Jaco Beats,Koku,Miracle,Mazichi reality,Rap Nation,Wise one,Da hawa na wengineo.
 
Viingilio:Jamhuri Stadium-Watoto Tsh.3,000/
Watu wazima 5,000/
Kwa wale watakaoenda After party-Royal Village- 20,000/ - Normal Entrace
V.I.P. 50,000/ & V.VIP 100,000/
WOTE MNAKARIBISHWA. 









No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Biorn Production

Is a music recording studio

Total Pageviews

Popular Posts

  • THE STARTING POINT OF MAKING AN AUDIO OF MAMA AFRICA FROM THE ARTIST BIG BORN90 WAS AT THE SESSION OVER HERE IN TANZANIA-DODOMA SECOND BRANCH OF BIORN PRODUCTIONS STUDIOS
    HAPA NDIPO YALIPOANZIA MAPISHI YA WIMBO WA MAMA AFRIKA TOKA KWA MSANII BIG BORN90,DODOMA TANZANIA NDANI YA STUDIO ZA BIORN PRODUCTION. ...
  • JE UNAWAFAHAMU AU USHAPATA ANGALIA KAZI ZAO HAWA VIJANA WENYE ASILI YA ROCK CITY- Sparrow & T nock- Melodie WANA KAZI YAO IMEFANYIKA NDANI YA STUDIO ZA BIORN PRODUCTION NI MATATA SANA KUTOKANA NA MPANGILIO WA SAUTI ZAO,UTAISKIA KWA MARA YA KWANZA HAPA HAPA
  • HII NDIYO ILE COLABO NILIYOWA AHIDI TOKA KWA MKALI WA HIP HOP CENTRAL- ZONE-DODOMA NA MWANADADA TOKA UGANDA MKALI WA DANCEHALL KAA TAYARI KWA "HIP-HOP RAGGAE"
  • WASANII WA MZIKI WA KIZAZI KIPYA TOKA DODOMA WASHIRIKISHWA KWENYE UKUSANYAJI WA PESA ZA UBORESHAJI WA MAZINGIRA YA ELIMU NA MKUU WA WILAYA-BETTY MKWASA
    Kutoka kanda ya kati dodoma,mkuu wa wilaya ya mjini Mh. Betty Mkwasa amebuni mbinu ya kuitumia sanaa ya mziki wa kizazi kipya katika kuleta...
  • KAA MKAO WA KUSIKIA MZIKI MZURI SIKU YA JTATU 1/06/2015 TOKA KWA MKOLONI WA WAGOSI WA KAYA. WIMBO UNAITWA "TUPO PAMOJA" WATAYARISHAJI NI DJ JORSBLESS NA HERMYB & DJ OMMY....TUKUTANE OKTOBA.
  • WE THANK GOD COZ WE DID A GOOD AUDIO PRODUCTION THEN DIRECTOR ERICK BACKAMAZA TOOK OVER WITH A CLEAN N' NICE VIDEO PRODUCTION...WE HAVE SOMETHING TO DO AGAIN WITH HIM STAY TUNE....CENTRAL ZONE STAND UP!!! MUNGU ASHUKURIWE KWA AUDIO NZURI TULIYOIFANYA HALAFU MUONGOZAJI WA PICHA ZA KUTEMBEA ERICK BACKAMAZA AKAITENDEA HAKI KWA VIDEO NZURI NA SAFI..TUNA CHA KUFANYA NAE TENA..TEGA MACHO NA MASIKIO.
     
  • Vi har försökt MYCKET ATT INGÅ SVENSK MUSIK SAMHÄLLET OCH VI HAR INTE TRÖTT HÄR EN ANNAN SVENSKA REGGAE FRÅN KABOKU TANZANIANO. BRAND-NEW TRACK- 2015 MASWALI MENGI.
  • Maalum kwa kumbu kumbu za Aliyekuwa msanii wa kundi la chemba squad marehemu Albert Mangwair kutokana na maisha aliyowahi kushare nasi mitaa ya Graveyard D'salaam.
  • HAPA KUNA MASUALA KADHAA ALIYOZUNGUMZA MWONGOZAJI WA VIDEO YA MAYA DIR 'ERICK BACKAMAZA II' KAZI YA BIORN NI AUDIO TU
    NIMEKUWA NIKIPATA MASWALI MENGI KUTOKA KWA FUNS wangu na fellow directors kuhusu video ya ONE SIX - MAYA Kwamba nilitumia vifaa gani,story ...
  • AFTER WE HAVE DONE WITH SHETTA ON 1st January Oslo, WE LOOK FORWARD WITH PETER MORGAN HERITAGE OSLO (Risløkka Festlokalet): 28.FEBRUAR-2015 TICKETS FOR THE SHOW ARE AVAILABLE AT www:Billetservice.no FOR 320 nok, OR YOU CAN GET A TICKET FOR 250 nok, JUST CALL @ Dj Eric Mafaranga Stine Sandsengen & Dj Pred Pro Cafe D'or Oslo WITH TELEPHONE NUMBER 96972483 OSLO-NORWAY
                                               SHETTA A.K.A. BABA QAYLLAH                                          SHETTA A.K.A. BABA QAYLL...

Translate

Click Here to listen to all the songs!

WE KEEP GOOD MUSIC ALIVE ALWAYS

WE KEEP GOOD MUSIC ALIVE ALWAYS
Free Counter

© 2015 Bjorn Productions

Template and graphics by Luella K.