Kutoka kanda ya kati dodoma,mkuu wa wilaya ya mjini Mh. Betty Mkwasa amebuni mbinu ya kuitumia sanaa ya mziki wa kizazi kipya katika kuleta maendeleo kwenye sekta ya Elimu kwa kuwaunganisha wasanii watokao kanda hiyo kwa kufanya wimbo wa pamoja na kisha kuandaa Tamasha ambalo litajumuisha pia wasanii wakubwa ambao wataungana kwa ajili ya kufanya onyesho siku ya jumamosiya tarehe 2 mwezi May 2015 ndani ya viwanja vya Jamhuri Stadium pia baadae patakuwa na after party itakayomalizikia kwenye ukumbi wa Royal village hotel..ambapo lengo kuu ni kukusanya pesa kwa ajili ya Ujenzi wa Maabara za kisasa zitakazotumiwa na wanafunzi mkoani humo.Wasani wakubwa watakaoongoza show hiyo ni Bushoke, Ben Pol na Mzee yusuph.
Biorn Production Studios tawi la Dodoma imefanikiwa kutoa wasanii wawili watakaotuwakilisha kwenye Harambee hiyo ambao ni Big Born90 na Smao,wakali wengine toka dodoma ni Central Zone,Jaco Beats,Koku,Miracle,Mazichi reality,Rap Nation,Wise one,Da hawa na wengineo.
Viingilio:Jamhuri Stadium-Watoto Tsh.3,000/
Watu wazima 5,000/
Kwa wale watakaoenda After party-Royal Village- 20,000/ - Normal Entrace
V.I.P. 50,000/ & V.VIP 100,000/
WOTE MNAKARIBISHWA.
Biorn Production Studios tawi la Dodoma imefanikiwa kutoa wasanii wawili watakaotuwakilisha kwenye Harambee hiyo ambao ni Big Born90 na Smao,wakali wengine toka dodoma ni Central Zone,Jaco Beats,Koku,Miracle,Mazichi reality,Rap Nation,Wise one,Da hawa na wengineo.
Viingilio:Jamhuri Stadium-Watoto Tsh.3,000/
Watu wazima 5,000/
Kwa wale watakaoenda After party-Royal Village- 20,000/ - Normal Entrace
V.I.P. 50,000/ & V.VIP 100,000/
WOTE MNAKARIBISHWA.
No comments:
Post a Comment